Kikosi kinachoongozwa na London Donovan kimeichapa timu inayoongozwa na Luis Figo kwa mabao 8-5 na kubeba Kombe la Wakongwe Duniani.
Mechi hiyo ilipigwa jijini Las Vegas nchini Marekani na kuwakutanisha nyota kibao wa soka duniani kutoka katika nchi mbalimbali za Ulaya.
TEAM Donovan XI: Dudek, Zambrotta, Materazzi, Maldini, Ljunberg, Smicer, Berger, Seedorf, Donovan (c), Pires, Shevchenko, Yorke, Vieri
TEAM Figo XI: Oswaldo, De Boer, Karembeu, Salgado, Cafu, Deco, Scholes, McManaman, Figo (c), Del Piero, Kluivert, Fowler, Borgetti












0 COMMENTS:
Post a Comment