February 21, 2016



Mtanzania, Thomas Ulimwengu amekusanya kikombe kingpin kikubwa baada ya TP Mazembe kubeba ubingwa Caf Super Cup.

TP Mazembe  imeitwanga Etoile du Sahel kwa mabao 2-1 kwenye uwanja wake mini Lubumbashi, DR Congo na kubeba ubingwa huo.

Kwa Ulimwengu, hilo linakuwa kombe kubwa la pili ndani ya miezi miwili baada ya kuingoza TP Mazembe kubeba ubingwa wa Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria.


Kwa jana, TP Mazembe watalazimisha kumshukuru mshambuliaji Daniel Nii Adjei raia wa Ghana aliyetupia bao zote mbili.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic