March 24, 2016


Huyu ndiye baba wa soka la kisasa, Johan Cruyff amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka minane.

Cruyff amefariki huku Tanzania ikiwa ndiyo nchi yake ya mwisho kuitembelea barani Afrika alipokuja mwaka jana na kikosi cha wakongwe wa Barcelona.

Gwiji huyo wa Ajax, Barcelona na timu ya taifa ya Uholanzi alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kansa.

REKODI ZAKE MUHIMU..
MCHEZAJI:
Ajax (1964-73) – mechi 240, mabao 190
Barcelona (1973-78) –  mechi 143, mabao  48 
LA Aztecs (1979-80) – mechi 23, mabao13 
Washington Diplomats (1980-81) – mechi 30  mabao 12
Levante (1981) – mechi 10,  mabao 2 
Ajax (1981-83) – mechi 36,  mabao 14 
Feyenoord (1983-84) – mechi 33, mabao 11
Holland (1966-77) – mechi 48,  mabao 33 

AKIWA KOCHA:
Ajax (1985-88)
Barcelona (1988-96)

Catalonia (2009-13)

1 COMMENTS:

  1. Hivyo wewe mwandishi ni kweli huyu gwiji la futiboli amefariki akiwa na umri wa miaka minane?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic