March 31, 2016


Kinda wa Man United, Jesse Lingard yuko mapumzikoni Dubai ambako anakula “mibata” na ameonekana akicheza wanyama wa “Tanzania”.

Hakika Dubai hakuna wanyama kama Tiger ambaye anapatikana barani Asia au taiga na nyani ambao wanapatikana kwa wingi Tanzania.

Kijana huyo mwneye miaka 23, ameonekana kuwafurahia wanyama hao ambao wanaonekana ni watulivu kwake.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic