May 30, 2016


Manchester United imeingia mkataba mpya wa miaka minne na kinda Marcus Rashford.

Mkataba huo, Rashford atakuwa akipokea pauni 25,000 kwa wiki kabla ya bonas.

Kinda huyo mwenye umri wa miaka 18 amekuwa gumzo katokana na uwezo wake mkubwa wa kufunga.

Pamoja naye, kinda mwingine Cameron Borthwick-Jackson naye ameingia mkataba wa mpya hadi mwaka 2020. 



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic