May 9, 2016



Meneja Uhusiano wa StarTimes Tanzania, Muddy Kimwery (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza upataji wa haki za kuonyesha michuano ya Copa America moja kwa moja kupitia chaneli za michezo za StarTimes ambayo itafanyika nchini Marekani kuanzia Juni 3 mpaka Juni 26 mwaka huu. Kulia ni meneja maudhui wa kampuni hiyo Paulina Kimweri.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic