June 23, 2016

NAINGGOLAN AMBAYE NI MFUNGAJI WA BAO PEKEE KATIKA MECHI HIYO AKIMDHIBITI ZLATAN...

Radja Nainggolan anayewaniwa na Chelsea, ameifungia Ubelgiji bao moja tu muhimu lililoipa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Sweden.

Ubelgiji imesonga mbele hatua ya 16 Bora lakini mshambuliaji nyota na nahodha wa Sweden, Zlatan Ibrahimovich na kikosi chake, wanarejea kwao Ulaya Kaskazini.

Mechi ilikuwa tamu na ya kuvutia, lakini mwisho Sweden wanafunga safari kurejea kwao baada ya kipigo hicho.a









0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic