October 18, 2016

TOTO


Kikosi cha Toto African, kimetamba kwamba kitawatoa shoo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga.

Yanga ipo mjini Mwanza kuwavaa Toto katika mechi ya Ligi Kuu Bara, mechi itakayopigwa kesho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba.

Msemaji wa Toto, Cathbert Japhet amesema wana imani kubwa kwamba wako vizuri.

“Tunaamini Yanga hawataondoka na pointi kesho. Timu yetu ipo vizuri na tumejiandaa kweli.

“Maandalizi yetu yako vizuri na tunaomba kesho msubiri kuona tutakachofanya,” alisema.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic