November 17, 2016


Baada ya kufanya kimyakimya kazi ya upromota, sasa bondia nyota Floyd Mayweather ameamua kufanya hadharani.


Mayweather ambaye alitangaza kustaafu baada ya kushinda mapambano 49, ameonekana akisimamia pambano la mabondia Badou Jack  (kushoto) na James DeGale (kulia) akiwa ni promota.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic