November 1, 2016



Mazishi ya bondia Thomas Mashali aliyeuwawa yanatarajia kufanyika keshokutwa jijini Dar es Salaam.

Baba mzazi wa Mashali amesema wameamua kufanya mazishi hayo Jumatano kwa kuwa wanapisha uchunguzi wa polisi.

“Tumewaachia kidogo polisi wamalizie kazi yao, lakini mazishi yatakuwa Jumatano badala ya Jumanne kama ilivyokuwa hapo,” alisema.


Msiba wa bondia huyo ambaye ameuwawa na watu wasiojulikana uko kwao Tandale jijini Dar es Salaam.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic