February 21, 2017



Nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametupia picha mtandaoni akionyesha gari lake jipya aina ya Bugatti Veyron.

Picha za Ronaldo akiwa na gari hilo la kifahari zimezua gumzo kubwa mitandaoni kwamba ni mtu anayependa majivuno.


Lakini wako ambao wamekuwa wakimuunga mkono kwamba ana haki ya kusherekea maisha ambayo anauafanyia kazi kwa juhudi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic