February 8, 2017




MOJA:
"Nimesikia wakisema natakiwa kufika kituo cha Polisi siku ya Ijumaa. Mimi nina nafasi mbili kwenye jamii, Mimi ni baba wa familia yangu lakini nafasi yangu ya pili mimi ni mwenyekiti wa Yanga na nyote mnajua ninavyoheshimiwa."


MBILI:
"Huwezi kunitangaza kupitia redio kwamba niende kwenye kutuo cha polisi saa tano. Makonda ni mdogo kwangu kiumri. Nafikiri anajua taratibu sahihi za kufanya, iko wapi barua ya kuwa nahitajiwa."

TATU
"Na katiba inasema kila mtu ana haki yake, pia akumbuke unaponichafua mimi kama Mwenyekiti wa Yanga unachafua Yanga nzima."


NNE:
"Kama unataka mimi nikusaidie kutaja wauzaji, lakini vipi unaniweka hadharani kwa kuanza kunitangaza mimi ambaye ni ninayekusaidia wewe. Utanilinda vipi?"

TANO:

"Mimi nitaenda Kituo cha Polisi kesho sisubiri hiyo Ijumaa."

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic