February 27, 2017


Real Madrid ililazimika kupigana kijeshi na kufunga mabao matatu ndani ya dakina 19 ili kuepuka kipigo kutoka kwa Manyambizi wa Villarreal.

Tayari walikuwa nyumba kwa mabao 2-0, hali ambayo ilitishia “maisha” yao ndani ya La Liga. Mwisho wakashinda kwa mabao 3-2.

Wakalazimika kufanya kazi ya ziada na kufunga mabao hayo matatu kupitia kwa Gareth Bale, Cristiano Ronaldo na Alvaro Morata na haikuwa kazi rahisi. Cheki pichaaaaz











0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic