February 18, 2017




Njombe Mji imeifunga Kurugenzi kwa mabao 2-0 katika mechi ya Uwanja wa Wambi mjini Iringa na kufanikiwa kupanda Ligi Kuu Bara.

Ushindi huo, unaifanya Njombe Mji iungane na Lipuli ya Iringa na Singida United kwenda Ligi Kuu Bara.


Njombe Mji imefikisha pointi 22 na kujihakikisha kuanza kuonja utamu wa Ligi Kuu Bara, msimu ujao.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic