February 2, 2017





Ruvu Shooting imeendelea kuyumba katika Ligi Kuu Bara baada ya kuchapwa kwa mabao 3-1 na Mwadui FC.


Msemaji wa Ruvu Shooting, Masau Bwire alisema wamechoka kupoteza mechi zao akiahidi kuwa Mwadui ndiyo watakuwa mfano.



Lakini mambo yameonekana kwenda kombo tena kwao  katika nechi hiyo imepigwa kwenye Uwanja wa Mwadui Complex mkoani Shinyanga.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic