February 18, 2017


Yanga imesonga mbele katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuiondoa Ngaya ya Comoro kwa jumla ya mabao 6-2.

Yanga imefikisha idadi hiyo baada ya sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo. Bao pekee la Yanga likifungwa na Haji Mwinyi.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic