February 3, 2017


Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ameweka hadharani nia yake ya kumsajili mchezaji kinda wa Monaco, Kylian Mbappe.

Wenger amesema Mbappe mwenye umri wa miaka 18, anamfananisha na gwiji wa Arsenal, Thierry Henry. 

Ameweka wazi nia yake hiyo kijana huyo aliyefunga mabao sita katika mechi 19, atakuwa hatari zaidi kila anapopata uzoefu.


Inaonekana Arsenal na Monaco wameanza mazungumzo ya awali kwa ajili ya usajili wa kinda huyo.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic