February 13, 2017


Bwana mdogo, Young Samuel ambaye ni shabiki mkubwa wa manchester United alipewa nafasi ya kufika kwenye viwanja vya mazoezi vya klabu hiyo kongwe vya Carrington.

Samuel ambaye anasumbuliwa na matatizo ya bongo, alikuwa kama yuko ndotoni baada ya wachezaji wawili nyota Paul Pogba na Zlatan Ibrahimovic.

Kama sekunde kumi hive, Samuel mwenye umri wa miaka 11 alibaki akiwaangalia Zlatan na Pogba waliokuwa mbele yake hadi walipoanza kumsemesha.


Baadaye alipewa nafasi ya kucheza soka kwenye viwanja vya mazoezi akiwa na nyota hao wawili na kuonyesha furaha yake kuu.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic