May 28, 2017

 Kiungo nyota wa zamani wa Manchester United, David Beckham yupo nchini kwa ajili ya shughuli za utalii.

Beckham akiwa na familia yake, ametua nchini jana usiku na leo huenda akaingia mbugani kwa ajili ya shughuli za utalii.

Raia huyo wa England ambaye pia aliwahi kutamba na Real Madrid, AC Milan na LA Galaxy alionekana yuko chini ya uangalizi wa wenyeji wake alipotua.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic