May 25, 2017



Kiungo nyota wa Mbeya City, Kenny Ally Mwambungu sasa ni mali ya Singida United.

Kiungo huyo amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Singida United ambayo imepanda Ligi kuu Bara.


Wakati alikuwa akiwaniwa kwa juhudi kuu na wakongwe Yanga, Mwambungu amesaini Singida United.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic