May 31, 2017


Manchester City wala hawajataka kuchelewa, mapemaa wameamua kuweka hadharani uzi wao mpya wa msimu wa 2017-18.

Uzi huo kwa vikosi vyote, yaani timu kubwa ya wanaume na wanawake, vijana na zile za watoto sasa uko hadharani.

Uzi waliouanika Man City ni ule wa blue bahari ambao unajulikana kama "Jezi za Nyumbani".





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic