June 12, 2017


Washambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi na Luis Suarez wameungana na Cesc Fabregas wa Chelsea kufurahi na familia zao.

Washikaji hao wamejumuika na wake na watoto zao katika ufukwe wa Ibiza nchini Hispania kufurahia maisha wakati wa mapumziko.












0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic