July 9, 2017



Simba imemsajili beki Salim Mbonde kutoka Mtibwa Sugar.


Mbonde amesaini Simba mkataba wa miaka miwili ili kuimarisha safu ya ulinzi.

Mbonde anatua Simba baada ya kuwa na taarifa kuwa beki Abdi Banda amejiunga na timu ya Afrika Kusini.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic