LEO klabu ya Yanga yenye makazi yake Kariakoo mitaa ya Jangwani na
Tiwga, imemthibitisha rasmi Ibrahim Ajibu kuwa ni mmoja wa wachezaji wa
timu hiyo watakaopambana kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara na michezo ya
kimataifa.
Ajibu ambaye hucheza katika nafasi ya mshambuliaji anakuwa mchezaji wa kwanza kujiunga na Yanga akitokea mikononi mwa watani wao Simba kwa msimu huu wa 2017/18. Ajibu ataitumikia Yanga kwa miaka miwili kama mkataba wake unavyosema.
Ajibu ambaye hucheza katika nafasi ya mshambuliaji anakuwa mchezaji wa kwanza kujiunga na Yanga akitokea mikononi mwa watani wao Simba kwa msimu huu wa 2017/18. Ajibu ataitumikia Yanga kwa miaka miwili kama mkataba wake unavyosema.












0 COMMENTS:
Post a Comment