July 3, 2017

Singida United wamelitambulisha basi lao jipya ambalo limeanza kutumika na kikosi hicho.

Kikosi a Singida United kimerejea Ligi Kuu Bara msimu ujao na kesho kitaingia kambini mjini Mwanza.

Kocha wa zamani wa Yanga, Hans van der Pluijm ndiye kocha anayekinoa kikosi hicho ambacho kinadhaminiwa na SportPesa.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic