July 3, 2017

Bondia Ibrahim Class 'King Class Mawe' ametua leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akitokea Ujerumani ambako ametwaa Ubingwa na kuchukua mkanda wa Ubingwa wa Dunia GBC kwa pointi dhidi ya Jose Forero raia wa Panama.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic