July 14, 2017




Nahodha wa zamani wa Barcelona, Carles Puyol yeye hajui hata mechi za maveterani ni mwendo wa “mdogomdogo”, anaponda tu.

Jana nusura amvunje mguu Phil Neville, beki wa zamani wa Man United katika mechi za wakongwe wakati nyota sita wa Hispania wakichuana na sita wa England.



Michuano hiyo maalum kwa nyota wa zamani, iliwaunganisha nyota wengi wakiwemo Jay Jay Okocha wa Nigeria, Steven Gerrard, Roberto Carlos, Rivaldo na wengine wengi.

Hata hivyo, mara moja Puyol alimuomba radhi Neville na kumuambia hakuwa amekusudia hilo.











0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic