July 5, 2017

Taifa Stars inatarajiwa kushuka uwanjani kuivaa Zambia katika nusu fainali ya COSAFA, inayoendelea nchini Afrika Kusini, ikiwa imefika hatua hiyo baada ya kuwatoa wenyeji ambao pia walikuwa mabingwa watetezi, Afrika Kusini kwa ba 1-0, bao likifungwa na mshambuliaji Elias Maguri dakika ya 17.

Kikosi cha Taifa Stars hiki hapa…
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Gadiel Michael
4. Salim Mbonde
5. Abdi Banda
6. Erasto Nyoni
7. Himid Mao
8. Muzamiru Yassin
9. Simon Msuva
10. Elius Maguri
11. Shiza Kichuya

Waliopo benchi
1. Said Mohamed
2. Hassan Kessy
3. Amim Abdulkarim
4. Nurdin Chona
5. Salmin Hoza
6. Rafael Daud
7. Thomas Ulimwengu
8. Stamil Mbonde

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic