July 15, 2017



Ndanda FC wamemtema kocha wao, Abdul Mingane.

Habari kutoka ndani ya kikosi hicho zimeeleza, sasa wako katika harakati za kusaka kocha mpya.


“Kweli Ndanda wamemtema Mingange na wanaendelea kusaka kocha mwingine,” kilieleza chanzo.

Mingange alirejea tena Ndanda FC ikiwa katika wakati mgumu wa kuepuka kuteremka daraja na akafanikiwa kuibakiza.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic