July 31, 2017




Raphael Daud ambaye ametua Yanga akitokea Mbeya City ameanza mazoezi rasmi na kikosi hicho mjini Morogoro.

Pamoja na kuanza mazoezi, Aplha, mshambulizi Donald Ngoma wa Yanga ameanza mazoezi pia kujifua kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic