August 28, 2017


Wachezaji wanne wa Yanga, Amissi Tambwe, Geofrey Mwashiuya, Obrey Chirwa na kipa Beno Kakolanya wameanza mazoezi.

Msemaji wa Yanga, Dismas Ten amesema wachezaji hao wameanza mazoezi na wataanza kuonekana katika mechi zijazo.

“Hali zao zinaendelea vizuri na wataanza kurejea kuitumikia timu katika mechi zijazo,” alisema.


“Kuhusiana na suala la Buswita, hili linashughulikiwa na baada ya muda litapatiwa ufumbuzi,” aliongeza.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic