Simba inaingia uwanjani hivi punde kuivaa Milambo FC katika mechi ya kirafiki kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Kocha Joseph Omog amempa Jonas Mkude nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza katika mechi hiyo ya kirafiki kujiandaa na mechi dhidi ya Stand United katika mtiririko wa Ligi Kuu Bara.
KIKOSI:
1. Imanueli Mseja
2. Jamal Mwambeleko
3. Ally Shomary
4. Salim Mbonde
5. Yusuf Mlipili
6. Jonas Mkude
7. Mohamed Ibrahim
8. Mzamiru Yassin
9. Laudit Mavugo
10. Juma Luizio
11. Haruna Niyonzima
0 COMMENTS:
Post a Comment