Kocha Masoud Juma alitewahi kuifundisha Rayon Sports ya Rwanda anaweza kuwa mrithi wa Jackson Mayanja raia wa Uganda aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Simba.
Taarifa kutoka Simba zinaeleza, tayari kila kitu kati ya Simba na Juma raia wa Burundi kimekamilika.
“Kuna makocha kadhaa lakini yule wa Rayon kila kitu kimekamilika,” kilieleza chanzo.
Mayanja ameamua kuondoka Simba akidai kuwa ana matatizo ya kifamilia na uongozi wa Simba umempa ruhusa.
0 COMMENTS:
Post a Comment