TAIFA STARS ILIVYOJIFUA LEO KABLA YA KUIVAA MALAWI KESHO Kikosi cha Stars kimefanya mazoezi yake ya mwisho kabla ya kuvaa Malawi katika mechi ya kirafiki kesho. Mazoezi hayo yamefanyika kwenye Uwanja wa Uhuru ambao utatumika kwa mechi hiyo kesho.
0 COMMENTS:
Post a Comment