December 21, 2017



Kocha Joseph Omog amerejea na kuanza majukumu yake ya kukinoa kikosi cha Simba.

Omog alikuwa kwao Cameroon na kukabidhi majukumu yake kwa Masoud Djuma ambaye ni msaidizi wake.

Lakini leo, Omog ameendelea kukinoa kikosi chake katika Uwanja wa Boko Veterans jijini Dar es Salaam.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic