December 26, 2017



Picha za mshambuliaji Obrey Chirwa kujikita katika kilimo zimezua mjadala mkubwa.




Chirwa ambaye yuko katika mgomo akitaka kumaliziwa fedha zake za usajili anaonekana akiendelea na kilimo ikiwa ni siku chache kuiambia Yanga immalizie fedha zake za usajili ndiyo arejee nchini na kuendelea kuitumikia klabu hiyo.


Hata hivyo Yanga inaonekana kutokuwa na uwezo wa kulipa fungu hilo kwa pamoja.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic