Sijapenda kwa kweli, basi maadamu wameamua wao sawa tu. Mpaka Omog anafukuzwa Simba yupo at the top of VPL hivyo mathematically hatuwezi kusema Omog is a failure, hata ligi ya mwaka jana tulimaliza at par na Yanga kwa kuwa na point sawa ila tofauti ya magoli, bado hatuwezi kusema Omog is a failure, kumfukuza ni politics zisizo na mashiko hata kidogo.
Safi sana
ReplyDeleteAsante
ReplyDeleteSijapenda kwa kweli, basi maadamu wameamua wao sawa tu. Mpaka Omog anafukuzwa Simba yupo at the top of VPL hivyo mathematically hatuwezi kusema Omog is a failure, hata ligi ya mwaka jana tulimaliza at par na Yanga kwa kuwa na point sawa ila tofauti ya magoli, bado hatuwezi kusema Omog is a failure, kumfukuza ni politics zisizo na mashiko hata kidogo.
ReplyDelete