January 2, 2018


Manchester City imethibitisha kuwa mshambuliaji wake Gabriel Jesus atakuwa nje kwa wiki mbili.

Jesus aria wa Brazil aliumia goti wakati timu yake ilipoivaa Crystal Palace na kuambulia safe ya bila kufungana.

Mshambuliaji huyo alijikuta akimwaga chozi wakati wa safe hiyo baada ya kugundua kuwa ameumia.


Hivyo, City imesema ataendelea na matibabu akiwa nje ya uwanja kwa wiki mbili.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic