January 10, 2018



Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF)  na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Leo Jumatano Januari 10,2018 wamesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuidhamini Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) kupitia Bia ya Serengeti Lite  mkataba wenye thamani ya shilingi milioni 450.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic