February 2, 2018


Kikosi cha Yanga kitashuka dimbani kesho kuivaa Iringa FC kwenye Sokoine mjini Iringa.


Mechi hiyo itakuwa ni wa Ligi Kuu Bara tayari umekuwa gumzo mjini Iringa na unasubiriwa kwa hamu.


2 COMMENTS:

  1. Iringa FC ? ni ipi hiyo? Ipo kwenye Ligi ?

    ReplyDelete
  2. Sio Iringa Fc ni LIPULI FC na uwanja sio Sokoine ni SAMORA STADIUM....
    Naona kuna makosa katika uandishin wenu

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic