BAADA YA KUPELEKWA KAMATI YA MAADILI, WAMBURA KUTOLEA UFAFANUZI MASHTAKA YANAYOMKABILI LEO
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Michael Richard Wambura, leo atatolea ufafanuzi kuhusiana na mshataka yanayomkabili ndani ya Shirikisho hilo.
Kwa mujibu wa TFF, Wambura anakibiliwa na makosa matatu, la kwanza ni kupokea fedha za TFF. Pili, malipo yasiyo halali na tatu ni kugushi barua na kushusha hadhi ya TFF.
Blog Saleh Jembe itakuja kukujuza zaidi kipi kitakachokuwa kinaendelea.








0 COMMENTS:
Post a Comment