EXCLUSIVE: DROO YA ROBO FAINALI UEFA IMEKAMILIKA, LIVERPOOL KUKIPIGA NA MAN CITY, MECHI ZINGINE HIZI HAPA
Droo ya upangaji wa timu zitakazokutana kwenye hatua ya robo fainali, Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya tayari imeshafanyika.
Jumla ya timu 8 zilizokuwa zimefuzu kuingia hatua hiyo tayari kila mmoja ameshapangiwa mwenzake.
Mpangilio huo umekamilika kwa namna hii
Liverpool FC vs Machester City
Barcelona vs AS Roma
Juventus vs Real Madrid
Sevilla vs Bayern Munich
Mechi za mwanzo zitachezwa Aprili 3 mpaka 4 na zitarudiana wiki itakayofuata, Aprili 10 na 11 2018.








0 COMMENTS:
Post a Comment