March 3, 2018



Mzunguko wa 20 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara unaendelea kesho Jumamosi Machi 3, 2018 kwa kuchezwa mechi nne.
Njombe Mji watakuwa nyumbani Uwanja wa Sabasaba kucheza na Ruvu Shooting mchezo utakaochezwa saa 8 mchana, wakati Kagera Sugar wao watakuwa nyumbani Uwanja wa Kaitaba kuwakaribisha Majimaji ya Songea mchezo utakaochezwa saa 10 jioni.
Mechi nyingine Tanzania Prisons ya Mbeya watakuwa nyumbani Uwanja wa Sokoine kucheza dhidi ya Mbao FC ya Mwanza saa 10 jioni, Azam FC watakuwa Azam Complex ikiwakaribisha Singida United saa 1 jioni.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic