SAMATTA AWASILI ALGERIA NA KUPOKELEWA NA BALOZI WA TANZANIA
Mshambuliaji Mtanzania, Mbwana Ally Samatta, amewasili leo katika Uwanja wa Ndege wa Algiers, Algeria, na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Omar Yusuph Mzee.
Samatta amewasili Algeria kwa ajili ya mchezo wa kirafiki, ambapo Taifa Stars itacheza dhidi ya Algeria, Machi 22 2018.
Mchezaji huyo ataungana wa wenzake wa Taifa Stars, walioondoka leo nchini kuelekea Algeria kushiriki mechi hiyo ya kirafiki.
0 COMMENTS:
Post a Comment