March 15, 2018


Baada ya kutua salama leo jijini Port Said, Misri, kikosi cha Simba kimeanza kufanya mazoezi usiku huu.

Simba wameingia mazoezini muda huu kuanza maandalizi ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry SC, mchezo utakaopigwa Jumamosi ya wiki hii.



Mechi ya awali iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Simba ililazimishwa sare ya mabao 2-2.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic