Jumla ya timu 16 zinazoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika zimefuzu kuingia hatua ya makundi, na sasa kinachosubiriwa ni droo ya kupangwa timu zipi zikutane.
TIMU 16 ZILIZOFUZU KUINGIA HATUA YA MAKUNDI, LIGI YA MABINGWA AFRIKA |
Droo hiyo itafanyika mjini Cairo, Misri, Jumatano ya Machi 21 2018.
0 COMMENTS:
Post a Comment