Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imesema adhabu aliyopewa aliyekuwa Makamu Rais wa TFF, Michael Richard Wambura kufungiwa maisha kujihusisha na soka, itaendelea.
Kupitia vifungu mbalimbali, kamati hiyo ya rufaa imetupa zaidi ya vifungu vitano vya malalamiko ya Wambura kupitia wakili wake, Emmanuel Muga Augustine.
Kamati ya Rufaa imeeleza kuona adhabu hiyo ilikuwa sahihi kutokana na kuona Wambura alikuwa na makosa kupitia ushahidi na hoja zilizotoka pande zote mbili.
Kupitia vifungu mbalimbali, kamati hiyo ya rufaa imetupa zaidi ya vifungu vitano vya malalamiko ya Wambura kupitia wakili wake, Emmanuel Muga Augustine.
Kamati ya Rufaa imeeleza kuona adhabu hiyo ilikuwa sahihi kutokana na kuona Wambura alikuwa na makosa kupitia ushahidi na hoja zilizotoka pande zote mbili.
Michael Richard Wambura kubali yaishe. Kuna maisha nje ya soka. Ulikuwa Katibu Mkuu wa FAT kabla ya uongozi wa Tenga. Uligoma kukabidhi ofisi! Walianza from zero. Kwenye siasa nako ni hayo hayo. Ujuaji mwingi. Maadui zako ndani ya Simba wamepata mwanya sasa.
ReplyDeleteWambura kuna maisha nje ya soka na siasa pia.kwani lazima uwe kiongozi TFF au Simba.Jitafakari kwani muda ukuta na maisha yanaenda kasi.
ReplyDeleteJ
Deletehata km kuna maisha nje ya soka si kumfanyia figisu
Delete