May 10, 2018



Simba wanakabidhiwa ubingwa wakiwa mjini Singida hata kabla ya kuivaa Singida katika mechi yao ya Ligi Kuu Bara, keshokutwa Jumamosi.

Hii inatokana na waliokuwa mabingwa watetezi, Yanga kufungwa kwa mabao 2-0 dhidi ya Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.

Kufungwa kwa Yanga kuinaifanya ibaki na pointi 48 katika nafasi ya tatu, Azam FC katika nafasi ya pili wakiwa na pointi 49 na Simba sasa wanachukua ubingwa wakiwa na pointi 65.

Simba wanachukua ubingwa wakiwa na pointi tatu mkononi.



MABINGWA WA LIGI KUU BARA TOKEA MWAKA 1990


*.1990 Simba SC
*.1991 Yanga Sc
*.1992 Yanga Sc
*.1993 Yanga Sc
*.1994 Simba SC
*.1995 Simba SC
*.1996 Yanga Sc
*.1997 Yanga Sc
*.1998 Yanga Sc
*.1999 Mtibwa Sugar
*.2000 Mtibwa Sugar
*.2001 Simba SC
*.2002 Yanga Sc
*.2003 Simba SC
*.2004 Simba SC
*.2005 Yanga Sc
*.2006 Yanga Sc
*.2007 Simba SC
*.2007/08 Yanga Sc
*.2008/09 Yanga Sc
*.2009/2010 Simba SC
*.2010/2011 Yanga Sc
*.2011/2012 Simba SC
*.2012/2013 Yanga Sc
*.2013/2014 Azam FC
*2014/15 Yanga
*2015/16 Yanga
*2016/17 Yanga
*2017/18 SIMBA

2 COMMENTS:

  1. Hala halaaa, Simba inabidi ishinde mechi zote zilizobakia ili kujihakikishia ubingwa. Huwezijua, hawa MaYebo wanawezakata rufaaa na kupata alama za meania eti kwa sababu hawakucjezesha kikosi kamili Ni mapema mnooo kusherehekea, hawatabiriki hao, wanabebwaaa kila msimuuu

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic