June 27, 2018


Imekuwa kawaida kwa bingwa wa Kombe la Dunia kutolewa hatua ya makundi, lakini hakuna aliyetegemea hilo lingetokea kwa Ujerumani.

Ujerumani haikuwahi kutolewa katika hatua ya makundi katika miaka 80 iliyopita.

Korea Kusini wameilaza kwa mabao 2-0 na kuitupa nje katika Kombe la Dunia katika hatua ya makundi. Maana yake wameivua ubingwa.

Kipigo hicho kimezua hofu kubwa kwa mashabiki wa timu hiyo ya taifa na huo ndiyo ukweli usiopingika.

KILICHOWATOKEA MABINGWA:
1998: France WIN World Cup
2002: France OUT in Group Stage
2006: Italy WIN World Cup
2010: Italy OUT in Group Stage
2010: Spain WIN World Cup
2014: Spain OUT in Group Stage
2014: Germany WIN World Cup
2018: Germany OUT in Group Stage 













0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic