June 1, 2018






Na Joseph Oima, Nakuru
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wameanza mazoezi mjini hapa.

Simba wako hapa kwa ajili ya michuano ya SportPesa Super Cup na wataanza kazi Jumatatu kwa kuwavaa Sharks.

Simba wamewasili hapa jana wakiwa ndiyo timu ya kwanza ya Tanzania kutua Kenya kwa ajili ya michuano hiyo.

Mwaka jana ilifanyika Tanzania na Gor Mahia wakaibuka mabingwa huku timu za Kenya zikikutana katika fainali.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic